Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato sasa inapokea wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF kupata Huduma ya Kuchuja na kusafisha Damu (Hemodialysis) masaa 24.... Read More

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato sasa inapokea wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF kupata Huduma ya Kuchuja na kusafisha Damu (Hemodialysis) masaa 24.... Read More
Watumishi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato wamepokea mafunzo elekezi ya kiutumishi ikiwa ni pamoja na mafunzo ya namna bora ya utoaji huduma sahihi na elekezi kwa wananchi wote wanao... Read More
Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe.Martha Mkupasi leo Tarehe 1 Novemba 2022 amekata utepe kuashiria kuzindua kliniki ya Uchunguzi wa magonjwa ya Moyo wakati wa ufunguzi wa kambi maalumu ya matibabu... Read More
Kuanzia tarehe 31/10/2022 hadi 04/11/2022 kutakuwa na kambi maalum kwa ajili ya matibabu ya Moyo itakayofanyika katika Viwanja vya Hospitali ya rufaa ya kanda Chato kwakushirikiana na madakt... Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aahidi Hospitali Rufaa ya Kanda - Chato kujengwa kama ilivyokusudiwa Rais Samia Ametoa ahadi hio leo katika ziara yake y... Read More
Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imepokea bilioni 18 kwa ajili ya vifaa tiba vya kisasa kama CT - scan, MRI, Thioroscope na ECHO kwa ajili ya ubore... Read More
Leo kwenye ufunguzi wa juma la maadhimisho ya mwaka mmoja wa utoaji huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato ambayo ilianza kutoa huduma za rufaa tarehe 30 Julai 2021, Mkuu wa Wilaya... Read More
Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi amekabidhi nyumba 20 zenye thamani ya shilingi milioni 860 kwa watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda-Chato, ambapo ameutaka uongozi wa hospital... Read More
Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato(CZRH) wamejitolea damu kwa hiari leo tarehe 30/6/2022 katika zoezi la kukabidhi nyumba watumishi wa CZRH ... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Kanda sasa yapata Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto. Yupo kwa ajili ya Ushauri wa kitabibu, Uchunguzi na Matibabu. "Mlinde sasa Kwa Maisha Bora Ya Badae"... Read More