Welcome Chato ZRH

DR BRIAN C. MAWALLA
EXECUTIVE DIRECTOR
Welcome to Chato zonal refferal hospital, this hospital is located at Chato District near with the Lake Victoria. Our expectation is to provide the services that you deserve regardless of religion, ethnicity, income, race, gender, age or nation. On behalf of the entire Chato Zonal Referral Hospital team, I would like to welcome you to experience ou...Read more
Services And Facilities
- Kufanya uchunguzi/ tathmini kwa wagonjwa wenye matatizo ya kijamii au kisaikolojia [ social and psycho-social problem) ili kujua jinsi ya kushughulikia
- Kutoa ushauri kwa wagonjwa na/ au ndugu wa wagonjwa waliobainika kua na matatizo ya kijamii au kis...
Huduma kwa Wagonjwa wa Ndani
- Kupitia taratibu za uchunguzi wa kitabibu utambuzi wa magonjwa hufanyika na kuhakikisha matibabu sahihi hutolewa kwa kila mgonjwa.
- Mzunguko wa kuona wagonjwa Wodini Hufanywa kila siku asubuhi.
- Kushauriana na Idara ny...
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:
- Upasuaji wa Mifupa
- Upasuaji Jumuishi
- Magonjwa ya kina mama na Afya ya Uzazi
- Magonjwa ya watoto
Idara ya Wagonjwa wa dharula na ajali
Idara hii ni moja kati ya Idara zilizokamilika na kujitosheleza kihuduma
Huduma tunazotoa:
Kitengo cha wagonjwa wa nje (OPD)
- Huduma ya kuonwa na daktari
- Uchunguzi wa kitabibu
- Huduma za...
Daktari wa Meno akimfanyia uchunguzi wa kinywa na meno mteja
Recent News and Updates
Karibu katika matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi endelevu yanayotolewa na Madaktari bingwa kutok...
Posted on: April 23rd, 2025Karibu katika matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi endelevu yanayotolewa na Madaktari bingwa kutoka Taasisi ya tiba ya Mifupa, Ubongo, Uti wa mgongo na mishipa ya fahamu...Read more
WANANCHI WA WILAYA YA MBOGWE WAJITOKEZA KAMBI YA UCHUNGUZI NA MATIBABU KATIKA KITUO CHA AFYA MASUMBW...
Posted on: April 15th, 2025Wananchi wa Masumbwe na maeneo jirani wamejitokeza katika kambi maalumu ya siku tano ya upimaji na matibabu ya kibingwa kutoka kwa Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Rufaa ya kanda Chato (CZRH) inayoendelea katika Kituo cha Afya Masumbwe...Read more
TUGHE HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA CHATO WATEMBELEA KITUO CHA KULEA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA M...
Posted on: April 12th, 2025Viongozi wawakilishi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) tawi la Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato leo Aprili 12, 2025 wametembelea kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mennonite kilichopo Chato...Read more
VIONGOZI BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (NACTVET) WAKAGUA MIUNDOMBIN...
Posted on: March 28th, 2025VIONGOZI BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (NACTVET) WAKAGUA MIUNDOMBINU YA UANZISHWAJI WA CHUO CHA AFYA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA CHATO (CZRH)....Read more
Huduma za kliniki ya kibingwa ya Magonjwa ya Mifupa, ubongo, na mishipa ya fahamu zinazotolewa kwa k...
Posted on: March 27th, 2025Huduma za kliniki ya kibingwa ya Magonjwa ya Mifupa, ubongo, na mishipa ya fahamu zinazotolewa kwa kushirikiana na taasisi ya tiba ya mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu....Read more
Patients Visiting Hours
Latest Video
Clinics
- OBSTETRIC AND GYNAECOLOGY From 07:30 AM To 03:30 PM
- ORTHOPAEDIC From 07:30 AM To 03:30 PM
- SURGICAL From 07:30 AM To 03:30 PM
- PAEDIATRICS From 07:30 AM To 03:30 PM
- DENTAL From 07:30 AM To 03:30 PM